
Karibu kwenye TOP 10 ya miji iliyotembelewa zaidi duniani au kupata Wageni wengi kutoka nje ya nchi, pamoja na umaarufu wa Afrika, hakuna mji hata mmoja wa Afrika ambao umesogelea hata kwenye 25 bora.

NAMBA 10 KUALA LUMPUR MALAYSIA

NAMBA 9 ISTANBUL UTURUKI

NAMBA 8 NI NEW YORK CITY

NAMBA 7 SHENZHEN, CHINA

NAMBA 6 NI MACAU

NAMBA 5 NI PARIS UFARANSA

NAMBA 4 NI BANGKOK THAILAND

NAMBA 3 NI SINGAPORE Imetembelewa na watu milioni 17.

NAMBA 2 NI LONDON UINGEREZA

NAMBA 1 NI HONG KONG, Huu mji ulipata wageni wa kimataifa wapatao MILIONI 27 mwaka 2014.
0 Comments